Nasaba ya akina Antonin

Sanamu la Antoninus Pius

Nasaba ya akina Antonin ilikuwa nasaba ya Makaizari wa Roma. Ilidumu kuanzia 138 hadi 192 chini ya utawala wa Antoninus Pius, Marcus Aurelius na Commodus.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne