Nestorius Timanywa

Nestorius Timanywa (7 Mei 193728 Agosti 2018) alikuwa askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba.

Timanywa alizaliwa nchini Tanzania na alipewa daraja takatifu ya uaskofu mnamo 1974. Alihudumu kama askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Tanzania, kutoka mwaka 1974 hadi 2013.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne