![]() | Makala haina vyanzo vya kutosha
Makala (au sehemu ifuatayo ya makala) inatoa habari bila kuonyesha vyanzo au uthibitisho wowote.
|
Nezha Alaoui (alizaliwa Rabat, 1982) ni mjasiriamali aliyezaliwa Moroko na mwanzilishi wa chapa ya Mayshad. Pia ni mwanzilishi wa shirika lisilo la faida la Mayshad linalojiusisha na maendeleo ya vijana na wanawake.