Ngome Kongwe, Zanzibar

Mchoro wa Mji Mkongwe ukionyesha Ngome Kongwe miaka 1871 - 1875.
Ngome Kongwe, 2010.
Mnara wa Ngome Kongwe, 2021.

Ngome Kongwe (kwa Kiingereza: Old Fort; pia inajulikana kama Arab Fort, kwa Kiswahili: Ngome ya Kiarabu na kwa majina mengine) ni boma lililoko katika Mji Mkongwe, mji mkuu wa Zanzibar. Ni jengo la zamani zaidi[1] na kivutio kikuu cha wageni wa Mji Mkongwe. Iko mbele ya bahari kuu, karibu na jengo lingine la kihistoria la jiji, Jumba la Maajabu (Ikulu ya zamani ya Sultani wa Zanzibar), na inatazamana na Forodhani Gardens.

  1. "Stone Town, Zanzibar". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-02. Iliwekwa mnamo 2021-03-14. {{cite web}}: More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne