Nusufamilia

Nusufamilia (kwa Kilatini: subfamilia, wingi subfamiliae) katika uainishaji wa kisayansi ni ngazi ya kati chini ya familia lakini juu ya jenasi. Majina sanifu ya kundi hilo yanaishia "-oideae" katika mimea,[1] na "-inae" katika wanyama.[2]

  1. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named ICN
  2. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named ICZN

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne