Nusufamilia (kwa Kilatini: subfamilia, wingi subfamiliae) katika uainishaji wa kisayansi ni ngazi ya kati chini ya familia lakini juu ya jenasi. Majina sanifu ya kundi hilo yanaishia "-oideae" katika mimea,[1] na "-inae" katika wanyama.[2]
- ↑ Hitilafu ya kutaja: Invalid
<ref>
tag; no text was provided for refs named ICN
- ↑ Hitilafu ya kutaja: Invalid
<ref>
tag; no text was provided for refs named ICZN