Ohio

Ohio
Jimbo
Kauli Mbiu
"With God, all things are possible (en)
"Kwa Mungu yote yawezekana"(sw)
Ever upward
Ramani ya
Ramani ya
Eneo la Ohio nchini Marekani.
Nchi Marekani
Mwaka wa Kujiunga March 1, 1803 (ya 17)
Jiji kubwa
(na mji mkuu)
Columbus
Lugha Zinazozungumzwa Kiingereza 93.3%

Kihispania 2.2%

Nyinginezo 4.5%
Utaifa Ohioan (en)
Serikali
Gavana Mike Dewine (R)
Naibu Gavana Jim Tressel (R)
Eneo
Jumla 116,096 km²
Ardhi 106,156 km²
Idadi ya Watu
Kadirio increase 11,883,304


Pato la Taifa (2022)
Jumla increase $926.78 Bilioni (ya 7)
Kwa kila mtu increase 78,120
Kiashiria cha
Maendeleo ya Watu
(2022)
0.908 (34)
Maendeleo ya Juu Sana
Mapato ya Kati
ya Kaya (2023)
$67,809 (36)
Eneo la saa UTC– 05:00 (EST)
Tovuti
🔗ohio.gov
Sehemu ya Jimbo la Ohio
Ramani ya Ohio

Ohio ni jimbo la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika kaskazini mashariki ya Marekani bara. Imepakana na majimbo ya Pennsylvania, Michigan, Indiana, Kentucky na West Virginia. Upande wa kazkazini ni mpaka wa kimataifa na ng'ambo yake iko jimbo la Ontario katika Kanada. Mipaka asilia ni Ziwa Erie upande wa kazkazini na mto Ohio upande wa mashariki na kusini.

Mji mkuu pia mji mkubwa jimboni ni Columbus. Miji mingine mikubwa ni Cleveland, Cincinnati na Dayton.

Jina la Ohio limetokana na jina la Kiindio kwa mto mkubwa ulio mpaka wa kusini wa jimbo.

Ohio ina eneo la 116,096 km² linalokaliwa na wakazi 11,353,140.


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ohio kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne