Omari Kungubaya

Omari Kungubaya
Taarifa za awali
Jina la kuzaliwaOmari Kungubaya
Amezaliwa1939
Mgaza Vigolegole, Morogoro
Tanzania
Amekufa20 Oktoba, 2016
Njeteni, Mbezi ya Kimara, Dar es Salaam, Tanzania
Kazi yakeMwimbaji, mtunzi, mpiga gitaa
Miaka ya kazi1955-2016
Ameshirikiana naCuban Marimba

Mzee Omari Kungubaya (1939 - 20 Oktoba 2016) alikuwa mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi kutoka nchini Tanzania. Alifahamika zaidi kwa kuwa mtunzi wa wimbo wa kipindi cha salam za wagonjwa katika redio ya taifa ya Tanzania (RTD).


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne