Palm Jumeirah

Palm Jumeirah mwaka 2005

Palm Jumeirah ni kisiwa kilichoumbwa na binadamu kwa kutumia mtindo wa kurejesha ardhi na kampuni ya Nakheel, kampuni inayomilikiwa na serikali ya Dubai. Ni moja ya visiwa vitatu viitwavyo Visiwa vya Palm ambavyo vimepanua ndani ya Ghuba ya Persia kuongeza pwani ya Dubai kwa jumla ya kilomita 520. Palm Jumeirah ni ndogo na Visiwa vitatu asili vya palm (Palm Jumeirah, Palm Jebel Ali na Palm Deira) yaliyojengwa na Nakheel. Iko katika eneo la pwani la Jumeirah la emirate ya Dubai, katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne