Paride wa Teano

Kaburi lake.

Paride wa Teano (alifariki 346) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo, leo nchini Italia[1][2].

Inasemekana alitokea Ugiriki.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Agosti[3].

  1. http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=5226 accessed April 25, 2012
  2. Santiebeati.it: San Paride
  3. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne