Petro wa Trevi

Mt. Petro alivyochorwa mwaka 1603.
Sanamu ya Mt. Petro huko Trevi nel Lazio.

Petro wa Trevi (Rocca di Botte, Abruzzo, karne ya 11 - Trevi nel Lazio, Italia, 30 Agosti 1052) alikuwa kijana Mkristo aliyeishi kitawa bila makao maalumu baada ya kukataa kuoa[1][2].

Akiwa hajui kusoma wala kuandika, alizingatia upwekeni hekima ya Injili [3].

Alitangazwa mtakatifu na Papa Inosenti III tarehe 1 Oktoba 1215[4][5].

Sikukuu yake ni tarehe 30 Agosti[6].

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-09-24. Iliwekwa mnamo 2020-08-29.
  2. https://www.academia.edu/8236459/La_chiesa_di_San_Pietro_Eremita_a_Rocca_di_Botte
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90730
  4. http://www.comune.trevinellazio.fr.it/
  5. http://www.associazioneadop.it/San%20Pietro%20Eremita.pdf
  6. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne