Razia Sajjad Zaheer

Razia Sajjad Zaheer (15 Oktoba 191818 Desemba 1979) alikuwa mwandishi wa lugha ya Urdu kutoka India, mtandazaji, na mshiriki mashuhuri wa Jumuiya ya Waandishi wa Maendeleo. Aliweza kushinda Tuzo ya Sahitya Akademi ya Uttar Pradesh pamoja na Tuzo ya Soviet Land Nehru.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne