Reichshofstadion

Reichshofstadion ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Austria. Ulizinduliwa kwenye mji wa Lustenau nchini Austria. Uwanja huu hutumiwa na timu ya SC Austria Lustenau na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 8,800.[1]

  1. Webarchiv (German)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne