Romolo wa Fiesole (alifariki Fiesole, Italia ya Kati) alikuwa shemasi wa Kanisa Katoliki katika karne za kwanza BK[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Julai[2].
Developed by Nelliwinne