Rubidi (Rubidium) | |
---|---|
Rubidi ndani ya tubu katika angahewa ya arigoni
| |
Jina la Elementi | Rubidi (Rubidium) |
Alama | Rb |
Namba atomia | 37 |
Mfululizo safu | Metali alikali |
Uzani atomia | 85.4678 |
Valensi | 2, 8, 18, 8, 1 |
Densiti | 1.532 |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | 312.46 K (39.31 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 961 K (688 °C) |
Asilimia za ganda la dunia | 0.3 % |
Hali maada | mango |
Rubidi (Kilat. rubidus: nyekundu) ni elementi na metali alikali yenye namba atomia 37 kwenye mfumo radidia na uzani atomia 85.4678. Alama yake ni Rb.