Ruwaza ya Kenya 2030

Ruwaza ya Kenya 2030 (Kiingereza: Kenya Vision 2030) ni mpango wa maendeleo ya kiuchumi wa serikali ya Kenya kuendeleza maeneo mbalimbali ya kiuchumi katika maeneo mbalimbali ya nchi. Malengo ya mpango kuzalisha ukuaji wa uchumi wa mwaka wa 10%. Hivi sasa, Kenya ina ukuaji wa Pato la Taifa 4.9% (2007). Maono haya yamefululizwa katika miaka mitano mitano ya mipango, mwanzo wake ukiwa 2008-2012. Mpango wa kwanza unaazimia uwekezaji katika sekta sita muhimu na miradi ishirini kabambe. Sekta zilizolengwa ni pamoja na utalii, kilimo, viwanda, biashara, teknolojia ya habari, na huduma za kifedha.

Kulitangazwa 10 Juni 2008, kwamba wilaya ya Isiolo, itakuwa ya kwanza ya mradi wa kewekezwa. Mpango unazimia kuufanya mji wa Isiolo kuimarika kama eneo la kitalii ambalo litajumuisha kasino, mahoteli, masoko rejareja, uwanja wa ndege wa kisasa na vifaa vya usafiri.[1]

Serikali ya Kenya ilitangaza wakati wa 2008 Summer Michezo ya Olimpiki mjini Beijin ina mpango kabambe wa kuwa mwenyeji wa Micheza ya Olimpiki mwaka 2028 kam amojawapo ya mipanngo ya kutimiza ruwaza ya kenya 2030.

Maeneo ya mijini nchini Kenya itakuwa karibu maradufu kufikia mwaka 2030, na yatavujika na zaidi ya 2 / 3 ya idadi ya watu ambao watazingira maeneo ya mijini.

  1. Mburu, Solomon (10 Juni 2008). "Isiolo on way to becoming leading tourist resort". Business Daily Africa. Iliwekwa mnamo 2008-06-23. {{cite news}}: Cite has empty unknown parameter: |coauthors= (help)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne