Salva Kiir Mayardit

Salva Kiir Mayardit, Rais ya Kwanza ya Sudan Kusini

Salva Kiir Mayardit (amezaliwa 13 Septemba 1951) ni Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini. Amekuwa Rais wa nchi hiyo tangu mwaka 2011, wakati Sudan Kusini ilipopata uhuru kutoka Sudan. Kwa hiyo, yeye ni rais ya kwanza wa nchi. Kabla ya uhuru, Kiir alikuwa Makamu wa Rais wa Kwanza wa nchi ya Sudan na Rais wa eneo la Kusini la Sudan.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne