Saratani

Kwa kundinyota yenye jina hili angalia Saratani (kundinyota)

Picha ya eksirei inayoonyesha kivuli cha kansa katika mapafu.

Saratani (kutoka Kiarabu سرطان, sartan) au kansa (kutoka Kiingereza cancer) ni aina za ugonjwa unaotokana na seli za mwili zinazoanza kujigawa yaani kukua bila utaratibu na bila mwisho.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne