Saskatchewan | |||
| |||
Nchi | ![]() |
||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Regina | ||
Eneo | |||
- Jumla | 651,900 km² | ||
Tovuti: http://www.sk.ca/ |
Saskatchewan ni jimbo la Kanada. Limepakana na Northwest Territories, Nunavut, Manitoba, Montana, North Dakota na Alberta.
Lina eneo la km² 651,900.
Kunako mwaka wa 2009, idadi ya wakazi ilikuwa 1,023,810.
Mji mkuu ni Regina na mji mkubwa ni Saskatoon.
Saskatchewan ni hasa jimbo la kilimo cha ngano pamoja na mafuta ya petroli.
Lugha rasmi ni Kiingereza.