Seneti ya Kenya

Seneti ni chumba cha juu cha Bunge la Kenya. Seneti ilianzishwa mara ya kwanza katika katiba ya Kenya ya mwaka 1963. Baada ya kupigwa marufuku mwaka 1966, Seneti ilirudishwa katika katiba mpya ya Kenya, mwaka 2010.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne