Sergio Pagano

Sergio Pagano (alizaliwa huko Genova, 6 Novemba 1948) ni askofu wa Kanisa Katoliki na Mkuu wa Maktaba ya Siri ya Vatikani.

Pagano alijiunga na Shirika la Wabarnaba mwaka 1966. Alimaliza masomo yake ya falsafa na teolojia huko Roma, ambapo alifanywa kuwa padre tarehe 28 Mei 1977.[1][2]

  1. "5-Year Timeline Proposed for Pius XII Archives". Zenit News Agency. 2 Julai 2009. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 8 Juni 2011. Iliwekwa mnamo 30 Aprili 2011.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Biografy of Sergio Pagano (ital.)[1] Ilihifadhiwa 17 Aprili 2019 kwenye Wayback Machine.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne