Shelisheli

Jamuhuri ya Ushelisheli
République des Seychelles (Kifaransa)
Repiblik Sesel (Kimaori)
Kaulimbiu: "Finis Coronat Opus" (Kilatini)
"Mwisho hutunuku taji kazi"
Wimbo wa taifa: "Koste Seselwa"
Join together all Seychellois
Mahali pa Shelisheli
Eneo la Ushelisheli
Miji mikuuVictoria (Shelisheli)
Mji mkubwaVictoria
Lugha rasmi
Kabila
  • 97% Wakrioli wa Shelisheli
  • 3.0% Wengine
 • Wavel Ramkalawan
Rais
 • Ahmed Afif
Makamu wa Rais
Dominion (kujitawala)
Eneo
 • Jumlakm2 268,680 km² (ya 75)
 • Maji (asilimia)2.1%
Idadi ya watu
 • Kadirio la 2021130,523
 • Msongamano19.1/km2
PLT (PPP)Kadirio la 2024
 • Jumlaincrease $4.175 bilioni USD
 • Kwa kila mtuincrease $41,828
PLT (kawaida)Kadirio la 2024
 • Jumlaincrease $2.085 bilioni USD (ya 50)
 • Kwa kila mtuincrease $20,889
HDI (2022)0.802
Gini (2019)32.1
SarafuRupea ya Ushelisheli (SCR)
Majira ya saaUTC+04:00 (SCT)
Msimbo wa simu+248
Jina la kikoa.nz

Shelisheli pia Ushelisheli, kwa jina rasmi Jamhuri ya Shelisheli (kwa Kifaransa: République des Seychelles; kwa Krioli Repiblik Sesel), ni funguvisiwa na jamhuri katika Bahari Hindi, mashariki kwa mwambao wa Afrika Mashariki na kaskazini kwa Madagaska. Nchi hiyo ya visiwa inajumuisha visiwa 155 (kulingana na Katiba).

Mji mkuu wake na mji mkubwa zaidi, Victoria (Shelisheli), uko kilomita 1,500 (milia za baharini 800) mashariki ya bara la Afrika.

Nchi za visiwa na maeneo ya jirani ni Komoro, Madagaska, Morisi, na idara za ng'ambo za Ufaransa za Mayotte na Réunion kusini; na funguvisiwa la Chagos upande wa mashariki.

Shelisheli ni nchi iliyo ndogo zaidi barani Afrika pamoja na kuwa nchi ya Kiafrika iliyo na idadi ndogo zaidi ya watu, ikiwa na wakazi wanaokadiriwa kuwa 100,600 mwaka 2022

Ramani ya Shelisheli
Mji mkuu Victoria

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne