Shirika la Wanawake wa Angola (kwa Kireno: Organização Mulher Angolana (OMA)) ni shirika la kisiasa nchini Angola, ambalo lilianzishwa mwaka 1962 ili kuwalenga wanawake kuunga mkono Vuguvugu la Watu kwa Ukombozi wa Angola. Ilianzishwa na Deolinda Rodrigues Francisco de Almeida. [1]