Siagi

Siagi mara nyingi hupakwa juu ya mkate.
Floris van Schooten

Siagi (kutoka Kiarabu صيغ, siyagh) ni shahamu (mafuta) kutoka katika maziwa inayotumiwa kama chakula, hasa kwa kupakwa juu ya mkate au katika upishi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne