Stephen Marley

Stephen Marley akitumbuiza mwaka 2007.

Stephen Robert Nesta Marley Alizaliwa tarehe 20 Aprili mwaka 1972, ni mwanamuziki wa Jamaika.

Pia ni mtoto wa Bob Marley, ameshinda tuzo za Grammy mara nane, mara tatu kama msanii pekee, mara mbili kama mtayarishaji wa albamu za ndugu yake Damian Marley za Halfway Tree na Welcome to Jamrock, na mara tatu zaidi kama mwanachama wa kundi la kaka yake mkubwa Ziggy Marley la Ziggy Marley & The Melody Makers.[1][2][3][4]

  1. Grizzle, Shereita (2014) "Stephen Marley Lets 'Rock Stone' Loose", Jamaica Gleaner, March 30, 2014. Retrieved March 30, 2014.
  2. " Stephen Marley announces the release of his new album Ilihifadhiwa 15 Agosti 2018 kwenye Wayback Machine.", bobmarley.com, May 16, 2016. Retrieved May 22, 2016.
  3. "Stephen Marley & Pitbull set to perform 'Options' on Tonight Show Starring Jimmy Fallon". bobmarley.com. Aprili 4, 2017. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-08-28. Iliwekwa mnamo Aprili 29, 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. "Pitbull ft. Stephen Marley: Options". The Tonight Show Starring Jimmy Fallon. Aprili 4, 2017. Iliwekwa mnamo Aprili 29, 2017 – kutoka YouTube.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne