Sully Prudhomme

Sully Prudhomme

Sully Prudhomme (16 Machi 18397 Septemba 1907) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Ufaransa. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa René-François-Armand Prudhomme. Mashairi yake yanaonyesha sifa za ujumi. Mwaka wa 1901 alikuwa mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Nobel kwa Fasihi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne