Sunda Rapids ni sehemu ya maporomoko kwenye mwendo wa Mto Ruvuma unaofanya mpaka baina ya Tanzania Kusini na Msumbiji. Mto Ruvuma unapitia bonde jembamba ambako maji yake yalikata njia katika miamba yakiwa hapa na mwendo wa mbio.[1]
Developed by Nelliwinne