Tabuda, Thouda au Tahuda (zamani ilijulikana kamaThabudeos kwa Kilatini)[1] ulikuwa mji wa mkoa wa Mauretania Caesariensis. Mji huu ulikuwa muhimu sana katika Dola la Roma, Ufalme wa Bizanti na Ufalme wa Wavandali, pia unajulikana kwa magofu ya mawe katika oasisi karibu na kijiji cha Sidi Okba, nchini Algeria .
{{cite journal}}
: Cite journal requires |journal=
(help)