Tanesco

Makao makuu ya TANESCO huko Ubungo, Dar es Salaam, ambayo yanatakiwa kubomolewa nusu yake.

TANESCO ni shirika linalohusika na ugawaji wa umeme nchini Tanzania. Shirika hili lilianzishwa mwaka 1964.

Shirika la TANESCO linamilikiwa na serikali ya Tanzania. Wizara inayosimamia shughuli za TANESCO ni Wizara ya Nishati.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne