Tarafa

Tarafa (kutoka neno la Kiarabu; kwa Kiingereza: "circondary") ni eneo la ugatuzi katika nchi mbalimbali.

Kwa mfano nchini Tanzania tarafa ni sehemu ya kiutawala iliyo ndogo kuliko wilaya na ni kubwa kuliko kata. Hivyo ni ngazi kati ya wilaya na kata.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne