Thabo Mbeki | |
Rais wa Afrika Kusini (1999–2008)
| |
Deputy | Jacob Zuma Phumzile Mlambo-Ngcuka |
---|---|
mtangulizi | Nelson Mandela |
aliyemfuata | Kgalema Motlanthe |
Makamu wa Rais wa Afrika Kusini (1994–1999)
| |
Rais | Nelson Mandela |
aliyemfuata | Jacob Zuma |
tarehe ya kuzaliwa | 18 Juni 1942 Mbewuleni, Afrika Kusini |
chama | African National Congress |
ndoa | Zanele Dlamini Mbeki |
watoto | Monwabise Kwanda |
mhitimu wa | University of London University of Sussex |
Thabo Mvuyelwa Mbeki (amezaliwa 18 Juni 1942) alikuwa Rais wa nchi ya Afrika Kusini tangu 14 Juni 1999 hadi 24 Septemba 2008. Alimfuata Nelson Mandela.
Mbeki alilelewa katika familia ya Waxhosa katika jimbo la Rasi Mashariki. Wazazi walikuwa walimu wa shule na wanachama wa ANC.