The Bronx

Picha ya Angani ya Uwanja wa Yankee katika Eneo la The Bronx
Ramani hii ni New York City. Sehemu ya njano ni eneo la The Bronx

The Bronx ni moja kati ya sehemu za New York City, Marekani. Jina linatokana na Bronck's Farms, ambalo linamilikiwa na mlowezi mmoja aitwaye Jonas Bronck.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne