Theodor Mommsen

Theodor Mommsen
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Christian Matthias Theodor Mommsen (30 Novemba 18171 Novemba 1903) alikuwa mwanahistoria na mwandishi kutoka nchi ya Ujerumani. Anafahamika hasa kwa kitabu chake Historia ya Roma (kwa Kijerumani: Römische Geschichte). Mwaka wa 1902 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne