Timotheo

Timotheo, mmoja kati ya maaskofu wa kwanza, alivyochorwa katika Nuremberg chronicles f 109v(1493).
Picha takatifu ya Kiorthodoksi.

Timotheo (labda Listra, 17 hivi - Efeso, 97) ni mfuasi mpendwa wa Mtume Paulo, halafu mwandamizi wake.

Anaheshimiwa kama askofu mtakatifu na Kanisa Katoliki hasa tarehe 26 Januari[1] na Waorthodoksi tarehe 22 Januari.

Paulo alimuandikia barua mbili zilizopokewa katika Biblia kati ya Nyaraka za Kichungaji. Habari zake tunazipata humo na katika Matendo ya Mitume

  1. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne