Tola

Tola (kwa Kiebrania תּוֹלָע, Tola, Tôlāʻ[1]) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.

Kadiri ya Waamuzi 10:1-2 alikuwa wa kabila la Isakari akaongoza Israeli kwa miaka 23 huko Shamir katika mlima wa Efraimu.

Ndiye mwamuzi ambaye habari zake zimesimuliwa kifupi zaidi.

  1. His name means "Crimson worm" or "scarlet stuff." International Standard Bible Encyclopedia, "Tola"

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne