Trabzon

Baadhi ya maeneo ya mjini hapa.

Trabzon (Kiarmenia: Τραπεζούντα, Trapezounta) ni mji uliopo katika eneo la pwani ya Bahari Nyeusi kaskazini-mashariki mwa nchi ya Uturuki. Huu ndio mji mkuu wa Mkoa wa Trabzon.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne