Trentino-Alto Adige ni mkoa wa Italia wenye katiba ya pekee. Uko kaskazini kabisa mwa rasi ya Italia, ukipakana na Austria katika milima ya Alps.
Unaundwa na wilaya mbili zenye katiba za pekee. Ile ya kaskazini inatumia zaidi lugha ya Kijerumani.
Mji mkuu wake ni Trento.
Developed by Nelliwinne