Trento ni mji wa Italia kaskazini wenye wakazi 117.317 (2016). Ndio makao makuu ya wilaya yenye jina hilohilo, na ya mkoa wa Trentino-Alto Adige.
Ni maarufu hasa kutokana na Mtaguso wa Trento (1545-1563) uliofanyika mjini humo.
Developed by Nelliwinne