| |||||
Kaulimbiu ya taifa: | |||||
Wimbo wa taifa: Wimbo wa taifa huru na huria | |||||
Mji mkuu | Ashgabat | ||||
Mji mkubwa nchini | Ashgabat | ||||
Lugha rasmi | Kiturkmeni | ||||
Serikali | Udikteta Serdar Berdimuhamedow | ||||
Uhuru Ilitangazwa Ilitambuliwa |
27 Oktoba 1991 8 Desemba 1991 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
491,210 km² (ya 53) 4.9 | ||||
Idadi ya watu - Desemba 2020 kadirio - Msongamano wa watu |
6,031,187 (ya 113) 10.5/km² (ya 221) | ||||
Fedha | Manat (Turkmenistan) (TMM )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
TMT (UTC+5) (UTC+5) | ||||
Intaneti TLD | .tm | ||||
Kodi ya simu | +993
- |
Turkmenistan ni nchi ya Asia ya Kati.
Jina limetokana na lugha ya Kiajemi, likimaanisha "nchi ya Waturkmeni".
Imepakana na Afghanistan, Uajemi, Uzbekistan, Kazakhstan na Bahari Kaspi.