Turkmenistan

Türkmenistan
Turkmenistan
Bendera ya Turkmenistan Nembo ya Turkmenistan
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: Wimbo wa taifa huru na huria
Lokeshen ya Turkmenistan
Mji mkuu Ashgabat
37°58′ N 58°20′ E
Mji mkubwa nchini Ashgabat
Lugha rasmi Kiturkmeni
Serikali Udikteta
Serdar Berdimuhamedow
Uhuru
Ilitangazwa
Ilitambuliwa

27 Oktoba 1991
8 Desemba 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
491,210 km² (ya 53)
4.9
Idadi ya watu
 - Desemba 2020 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
6,031,187 (ya 113)
10.5/km² (ya 221)
Fedha Manat (Turkmenistan) (TMM)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
TMT (UTC+5)
(UTC+5)
Intaneti TLD .tm
Kodi ya simu +993

-



Turkmenistan ni nchi ya Asia ya Kati.

Jina limetokana na lugha ya Kiajemi, likimaanisha "nchi ya Waturkmeni".

Imepakana na Afghanistan, Uajemi, Uzbekistan, Kazakhstan na Bahari Kaspi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne