Ubaldeska (jina kamili la Kiitalia: Ubaldesca Taccini; Calcinaia, Italia, 1136 - Pisa, Italia, 1206) alikuwa bikira aliyemfuata tangu ujanani[1] Yesu Kristo katika familia ya kiroho ya Utawa wa Mt. Yohane.
Kwa miaka 55 alitekeleza matendo ya huruma katika hospitali ya utawa huo[2].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Mei[3].
{{cite web}}
: More than one of |accessdate=
na |access-date=
specified (help)