Ubuyu

Tunda la mbuyu nje na ndani.

Ubuyu ni ungaunga wa rangi ya maziwa wa matunda ya mbuyu ukiwa na mbegu zake au bila mbegu.

Ubuyu umekuwa ni mmea wenye faida nyingi kwa mwili wa binadamu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne