Uche Elendu

Uche Elendu (alizaliwa 14 Julai 1986) ni mwigizaji, mwimbaji na mjasiriamali[1] wa kike kutoka nchini Nigeria [2].

Alifafanuliwa kama mmojawapo wa waigizaji wenye sura thabiti katika tasnia ya sinema ya Nigeria. Kutokea kwake kwa mara ya kwanza ni mnamo mwaka 2001. Mwaka 2010 alichukua mapumziko kutoka tasnia ya burudani ya Nigeria. Kulingana na machapisho ya Vanguard, Elendu ameshiriki zaidi ya sinema 200 za kinigeria. [2][3][4]

  1. "How women can tie down their hubbies –Uche Elendu, actress". The Sun Nigeria (kwa American English). 2019-10-20. Iliwekwa mnamo 2019-12-09.
  2. 2.0 2.1 "See Uche Elendu sexy birthday photoshoot". Vanguard News (kwa American English). 2015-07-15. Iliwekwa mnamo 2019-12-09.
  3. "Beans and plantain reminds me of childhood – Uche Elendu". Punch Newspapers (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2019-12-09.
  4. "Money we make in movies doesn't match the effort – Uche Elendu". Punch Newspapers (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2019-12-09.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne