Ufahamu

Ufahamu ni dhana inayorejelea kujua na kuielewa jambo kwa usahihi na kuweza kulielezea upya kwa usahihi bila kupoteza maana yake ya msingi.

Ufahamu wa mtu waweza kupimwa katika kusikiliza jambo au katika kusoma.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne