Ufalme wa Kuku

Ufalme wa Kuku (Ufalme wa Koukou) ulikuwa ufalme wa Waberberi wa Kabyle. Ufalme huu ulianzishwa karibu mwaka wa 1515 BK na ulitawaliwa na nasaba ya Ath l-Qadi hadi mwaka wa 1632 au 1638 BK.

Ahmed ou el Kadhi (Ou l-Qadi) anatambulika kama mwanzilishi wa ufalme huo.[1]

  1. Bernard Lugan (2016). Histoire de l'Afrique du Nord. Editions du Rocher. uk. 216. ISBN 9782268085357.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne