Ufunuo wa Yohane

Yesu akimtokea Yohane.
Mchoro mdogo wa karne ya 9 uliopo katika ukurasa wa kwanza wa Kitabu cha Ufunuo, Biblia ya Basilika la Mt. Paulo, Roma, Italia.

Kitabu cha Ufunuo ni cha mwisho katika orodha ya vitabu 27 vinavyounda Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne