Uhamisho wa Babeli

James Tissot, Mateka Kuhama (1896) .

Uhamisho wa Babeli (pia: Utumwa wa Babeli) unamaanisha kipindi cha historia ya Wayahudi ambapo idadi yao kubwa kutoka Ufalme wa Yuda walilazimishwa na Wababuloni kuishi ugenini hasa baada ya Yerusalemu kutekwa na kuangamizwa na mfalme Nebukadreza II.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne