Usultani ni nchi au eneo chini ya mamlaka ya Sultani. Katika mazingira ya Kiislamu jina limelingana mara nyingi na "Ufalme" ingawa limetumiwa pia na watawala wa ngazi za chini.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |