Usultani

Sultan Qabus Bin Said Al Said

Usultani ni nchi au eneo chini ya mamlaka ya Sultani. Katika mazingira ya Kiislamu jina limelingana mara nyingi na "Ufalme" ingawa limetumiwa pia na watawala wa ngazi za chini.



From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne