Uwanja wa Michezo wa Belmore

Uwanja wa Michezo wa Belmore ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Australia. Ulizinduliwa kwenye mji wa Sydney nchini Australia. Uwanja huu hutumiwa na timu ya Sydney Olympic na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 17,000.[1]

  1. "Belmore Sports Ground". austadiums.com. Austadiums. Iliwekwa mnamo 15 Agosti 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne