Uwanja wa Michezo wa Tres de Febrero ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Argentina. Ulizinduliwa mnamo mwaka 1956 kwenye mji wa José Ingenieros nchini Argentina. Uwanja huu hutumiwa na timu ya Almagro na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 13,000.[1]
Developed by Nelliwinne