Uwanja wa michezo wa TP Mazembe

Stade TP Mazembe ni uwanja wenye matumizi mengi uliopo Kamalondo Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Tangu kukamilika kwake mnamo mwaka 2011, umekuwa ukitumika zaidi kwa mpira wa miguu pia ni uwanja wa nyumbani wa TP Mazembe na CS Don Bosco, Uwanja huo una viti 18,000 [1]

  1. Démarrage des travaux de construction du nouveau stade du TP Mazembe, à Lubumbashi (french) April 30, 2010

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne