| |||||
Kaulimbiu ya taifa: None 2 | |||||
Wimbo wa taifa: Gloria al Bravo Pueblo | |||||
Mji mkuu | Caracas | ||||
Mji mkubwa nchini | Caracas | ||||
Lugha rasmi | Kihispania 3 | ||||
Serikali | Shirikisho la jamhuri Nicolás Maduro | ||||
Uhuru Kutoka Hispania Kutoka Gran Colombia ilitambuliwa |
5 Julai 1811 21 Novemba 1831 30 Machi 1845 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
916,445 km² (ya 33) 0.32 | ||||
Idadi ya watu - 2015 kadirio - 2001 sensa - Msongamano wa watu |
33,221,865 (ya 44) 23,054,210 30.2/km² (ya 175) | ||||
Fedha | Bolivar (VEB )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
AST (UTC-4) None (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .ve | ||||
Kodi ya simu | +58
- | ||||
1 Jamhuri ya Kibolivari ya Venezuela imekuwa jina la nchi tangu katiba ya 1999. "Kibolivar" ni jina la heshima kwa kumbukumbu ya mshujaa wa uhuru Simon Bolivar. 2 Zamani: Dios y Federación ("Mungu na Shirikisho") 3 Katiba inatambua pia lugha asilia zote nchini. |
Venezuela ni nchi kaskazini mwa Amerika ya Kusini.
Imepakana na Brazil, Guyana na Kolombia.
Mbele ya pwani ya Bahari ya Karibi kuna madola ya visiwani ya Aruba, Antili za Kiholanzi na Trinidad na Tobago.
Venezuela ilikuwa koloni la Hispania hadi mwaka 1811 na lugha ya Kihispania ni lugha ya kitaifa.
Kikatiba Venezuela ni shirikisho la jamhuri.